Recent content by suleiman ngosha

  1. S

    CCM Shinyanga Kunafuka moshi mweusi!!

    Nani atampa ubunge mgombea wa chadema ambaye hana hata choo shinyanga ,anafanya kampeni akitokea guest house
  2. S

    CCM Shinyanga Kunafuka moshi mweusi!!

    Wewe ndiyo huijui shinyanga .na mnaanzisha thread kuudanganya umma .Masele anachukua jimbo kama kawaida na nchambi ndiyo hana mpinzani kabisa kishapu.
  3. S

    CCM Shinyanga Kunafuka moshi mweusi!!

    Unaongea kitu ambacho huna uhakika.Upinzani shinyanga hakuna kabisa.na CCM watachukua majimbo yote.wadanganye wasio ijua shinyanga
  4. S

    Hatimaye Lowassa abomoa hadhi ya CHADEMA

    Umemaliza huo ndo ukweli mwenye kuelewa kaelewa
  5. S

    Kubenea: Lowassa kiboko

    Ni janga la kitaifa na mchumia tumbo
  6. S

    Fredrick Sumaye unajidhalilisha sana kwa Lowassa

    Hayo ndo wasiotosheka hata aridhi yote wakipata wataomba na mbingu waimiliki
  7. S

    Umeambiwa, Lowassa ni muongo, tapeli, fisadi, na bado una mshabikia! Una matatizo makubwa

    Mungu alisha sema kunawengine atawaziba masikio wasielewe lolote ndo hao
  8. S

    Yaliyojiri Mkutano wa Edward Lowassa na wanawake wa DSM kutoka Ukumbi wa Millenium Tower

    Ndg ukisikia ngonjera ndo hizi kukurupukia mambo bila takwimu na bado utagundua mamabo ya ajabu mengi kwa hawa jamaa
  9. S

    Wakazi wa Mwembeyanga wageuka shubiri kwa UKAWA

    Umekumbusha labda watairudia hiyo orodha tena na kujitaja wenyewe!
  10. S

    Lowassa awafungulie mashitaka Viongozi wa upinzani kwa Kumchafua

    Nalo neno anayekudhalilisha mpeleke mahamani ili wananchi wapete jibu kama kweli anaonewa
  11. S

    GE2015 Ilani ya CCM 2015-2020 - Uchaguzi Mkuu 2015

    Hapo mwisho wa maelezo nauna nae
  12. S

    Tunachagua chama au mtu?

    Mtu kwanza chama baade
Back
Top Bottom