Recent content by SUlechina

  1. S

    HESLB: Sheria-mpya!

    Mambo zaidi kesho,kwa sasa nakusanya email na minutes za kikao kilichopita.
  2. S

    HESLB: Sheria-mpya!

    Kwani wewe siasa unaielewa vipi? Mambo ya East Africa unaona sio siasa? Usijiingize kwenye kundi la mambumbumbu tafadhali.
  3. S

    HESLB: Sheria-mpya!

    Nilifikiri mnajua kuchambua hoja za vikao kumbe mmekalia majungu tu. Sina time hiyo.
  4. S

    HESLB: Sheria-mpya!

    Na wewe Mkamap na Muheza acheni kuongea vitu msivyovijua hapa. Ningeelewa kama mngekuja na hoja za minutes za kikao,nimewapa hapo mnaanza mada za ajabu ajabu. Huo ndio nauita umbumbumbu!
  5. S

    HESLB: Sheria-mpya!

    Naweza nikakupa mambo tunayofanya watu wenye akili kwenye vikao vya East Africa Mbumbumbu wewe: NUTES OF EA STUDENTS REPRESENTATIVES MEETING HELD ON 18/02/10 AT HUASHI ROOM 806 AGENDA 1. Opening prayer 2. Communication from the coordinator · Briefing the new members 3...
  6. S

    HESLB: Sheria-mpya!

    Naongea kama mwenyekiti wa watanzania waishio wuhan Sipendi kuendelea na mijadala huku. Na kule kwenye yahoo group ni wanaKamati kuu tu ambao wanaruhusiwa kuchangia maoni yao kuhusu kujiunga kwetu na africa mashariki. Mmeshaanza kumtaja Husna bila sababu wakati nimemteua kwa mamlaka yangu kama...
Back
Top Bottom