Tatizo haya maziwa yanapatikana hapo tu hata ktk supermarket kubwa hayapatikani ndio maana yanakua na bei sana, yaani Kama mtoto ana allergy ya maziwa ya wanyama inabidi ujipange ila unaweza ukatengeneza mwenyewe ingia Google alaf andika uandaaji WA maziwa ya soya nafikiri unaweza kupata njia ya...
Nenda namangama katika maduka uliza Isomil ipo namba 1-3 inategemea na umri wa mtoto wako, ila yana bei kidogo kopo kubwa gram 100 ni laki moja dogo gram 400 elfu hamsini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.