Hivi watu wote wa arts wangeapply education ambayo ni priority wangepata?? mambo yangekuwa yaleyale, tatizo ni kwamba katika nchi hii fedha nyingi zinakuwa allocated katika vitu ambavyo havina maana wanaacha kukazania elimu ili kujenga taifa la wasomi.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.