Recent content by sugubeib

  1. S

    Mbuzi wa maskini hazai

    ndugu zangu siku zote maisha yanachangamoto sana yani mtu ukiwa huna kazi hata heshima inapungua si kwa ndugu hadi marafiki wanakudharau na kukatisha tamaa lakini nimegundua changamoto kwa upande fulani zinatuongezea uwezo wa kufikiri na kukomaa katika kupambana nayo mi ilifika kipindi maisha...
  2. S

    Masters programme

    Ben chek kwenye website zao ndio njia rahisi ya kujua yote hayo
  3. S

    PCCB mmemwita Mburahati primary school mkaniacha mimi, daah! real its not fear.

    Aisee nimeiona hiyo Mburahati mi nafikiri ni makosa ya kibinadamu ingawa kwa upande flani yamemnyima mtu haki yake ya kufanya usahili lakini mwisho wa siku kila kitu kinatokea kwa sababu labda wangeedit vizuri wangeweza kupunguza hayo makosa
  4. S

    Loan for graduates

    Wanajamii Forum ivi kuna benki au organization yoyote inayotoa mikopo kwa wahitimu wa vyuo vikuu dhamana ikiwa ni cheti.
  5. S

    Jamani, tushauriane ajira hazipatikani

    usikate tamaa endelea kuapply ndugu pia ili uweze kujikimu kimaisha anza kibiashara cha kuweza kupata sent mbili tatu mambo yatakaa sawa tu pia ku volunteer i mean kujitolea ni njia moja wapo ya kupata ajira ya kudumu kama ukiifanya kwa bidii..NO SURRENDER.
Back
Top Bottom