Tuache ubishi Magufuli wa 2015 na 2020 ni watu tofauti sana yaaani amezidi kuwa na mvuto Kwa watanzania kuliko 2015
Hii inaonyesha dhahiri anaenda kuongoza katika uchaguzi mkuu oktoba 28.
Magufuli wa CCM anakubalika sana kanda ya ziwa yote ndio maana hata mtoto mdogo ukimuuliza anajua John Pombe Magufuli ni nani
Hii inaonesha kabisa ni namna gani Mgombea huyu anakubalika Kwa jamii ya kanda ya ziwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.