Afrika kupambana Na ugonjwa huu inawezekana endapo viongoz Wa afrika watakapo kuwa Na msimamo mmoja Na kuziondoa fikla za kusema kwamb paspo msaada Wa umoja Wa mataifa hatuwezi.
Endapo wataelewa hlo hakika afrika tutaweza kumshinda adui huyu, Namalzia kusema kwamba Eeeee mungu ibariki afrika Na...
Airtel ndo mpango mzima GB za kutosha dk za kutosha, Voda ktambo sana nishaa wahama hawana diri mjini wasubr tu kuuza kampuni
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.