Hii nimeiona hasa kwa wenzetu waliooa mke zaidi ya mmoja Yan ni Kama wanaigana hii Tania. Kuna Siri gani imejificha?.
Mimi mwenyewe nimelishuhudia kwa baba yangu Yani upande wa hi mkubwa huku hatuna sauti Kama upande wa bi mdogo.
Je no kwanini wanaume hupenda zaidi bi mdogo kuliko bi mkubwa?
Issue ya virus kwenye windows inaweza sababisha ukapoteza document muhimu Sana hasa unapokuwa umezihifahi kwenye flash disk yako halafu ukaenda kuprint kwenye hizi stationeries ambazo wengi wao wanakuwa hawana strong anti virus kwa ajili ya kuprotect computers zao unajikuta baada ya kuprint...
Hii nimejaribu Mara nyingi napotumia sim Mb huwa zinaenda kawaida tu Ila nikitumia PC( iwe laptop au desktop) Mb zinakimbia ni balaa.
Sababu ya kitaalam ni ipi? Site nazotembelea ni zile zile tu Ila ulaji wa Mb kwenye PC naona ni mkubwa zaidi. Nawasilisha wakuu, karibuni kwa majibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.