Recent content by subby19

  1. S

    Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    Kwenye hii thread nimejifunza uvumilivu😂...hasa kusubiri hizi episodes za patty.....Zitashushwa Tu😀
  2. S

    Swali kwa waliooa tu: Mlipataje wanawake wa kuoa?

    Niko single ila sasa nimesoma thread yako ulioyandika umesema hutaki "mwanamke mnene" Duh😂
  3. S

    Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    Anavyochochea na kukuhakikishia atayamaliza....ndo Kwanza anayatibua🤣🤣
  4. S

    Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    Aisee nimecheka Sana🤣🤣🤣🤣 Huyu Mzee wa mission ananikumbusha Baba mdogo wangu mmoja ivi..Yaani maneno kibao utafikiri kazaliwa mjini kumbe hamna kitu😂
  5. S

    Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    Leta Uzi utuambie wameru walikufanyaje😂😂
  6. S

    Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    "Mission town janja janja huyu'" yamemshinda 🤣🤣🤣
  7. S

    Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    JAMANI KHERI YA MWAKA MPYA 2025 WANA JF💥💥💥...MWENYEZI MUNGU ATUJAALIE TUUMALIZE MWAKA HUU WOTE TUKIWA SALAMA NA WENYE AFYA🤲🏽
  8. S

    Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    Very interesting story....but sad at the same time....Every step unajishtukia ukIwa tayari umesha haribu..majuto baada ya majuto. Maisha yanaweza yakukufanyia drama ukachanganyikiwa🥲
Back
Top Bottom