Recent content by Subamojo5

  1. S

    PostGE2025 Kwa mara nyingine Polisi wakanusha matukio ya TFF, wasema hawajafanya uhalifu

    Wasituchanye kwenye ugomvi wao Sisi wala hayakuhusu😁
  2. S

    PostGE2025 Kwa mara nyingine Polisi wakanusha matukio ya TFF, wasema hawajafanya uhalifu

    Sasa wao SI wana intelejensia Kali hd ya kuhisi tu kwamba mtu anataka kufanya uhalifu? Hawa Tff wanawashindwaje hd watake msaada?.....au Inafanya kazi kwa viongozi na wanachama wa Chadema tu😁😁😁😁
  3. S

    PostGE2025 Ombi kwa Serikali; Baada ya majibu ya Tume ya Uchunguzi hiyo CHADEMA inayoshirikiana na TEC ifutiwe usajili wake

    Sawa mamlaka ilyo kuu imekusikia na imepokea ombi lako, imeahdi kuifuta hadi roho yako.
  4. S

    PostGE2025 Unawaona wanaopost video hizo? Ni kwa ajili ya manufaa yao ya kisiasa lakini muda utakwenda na utasahaulika wakishapata wanachotaka! Jilinde

    Mimi situkani km sijatukanwa hiyo ndiyo kanuni yangu.....ni misemo na misamiati ya kiswahili tu! Kama ulichosema siyo tusi na changu siyo tusi hivyo vijineno vyashahibiana km kucha na kidole
  5. S

    PostGE2025 Unawaona wanaopost video hizo? Ni kwa ajili ya manufaa yao ya kisiasa lakini muda utakwenda na utasahaulika wakishapata wanachotaka! Jilinde

    Nipo nakusubiri wewe ulyenzisha silaha za matusi nijifunze mapya kutoka kwako, nipo na kalamu na daftari tayari kwa kuchukua nondo mkuu! Ila me hapa nnayo ya zamani wakati askari wanavaa kaptula😀
  6. S

    PostGE2025 Tafakuri ya Waraka wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC)

    Una husda na ukristo kama vita ya wake wenza!.... haiyaa basi wote walokufa wakristo Wala nguruwe, na makafiri. waislamu hamjapata hata mkwaruzo! Umefurahi sasa?!
  7. S

    PostGE2025 Tafakuri ya Waraka wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC)

    Vichwa bapa mna nongwa, unatudolishia uko na mama samia kwahyo unataka akakunyonyeshe?🤣🤣🤣🤣
  8. S

    PostGE2025 Unawaona wanaopost video hizo? Ni kwa ajili ya manufaa yao ya kisiasa lakini muda utakwenda na utasahaulika wakishapata wanachotaka! Jilinde

    Wacha wee kumbe wewe ni mpiga ramli?! ambaye siyo muoga unashindwa nini kuutangazia umma wa WaTanganyika kwamba unashiriki kwenye mauaji kwa picha na account zako halisi?! Wewe kunguru km kunguru wengine jitokeze ueleze huo ushujaa wako wa mauaji kwamba ulkuwa unazijegeja km njugu kuuwa ndugu...
  9. S

    PostGE2025 Unawaona wanaopost video hizo? Ni kwa ajili ya manufaa yao ya kisiasa lakini muda utakwenda na utasahaulika wakishapata wanachotaka! Jilinde

    Sasa kumbe unaishi sayari nyingine kelele za nini?! Tuachie mziki wetu sisi tunaoshi Tanganyika!
  10. S

    PostGE2025 Unawaona wanaopost video hizo? Ni kwa ajili ya manufaa yao ya kisiasa lakini muda utakwenda na utasahaulika wakishapata wanachotaka! Jilinde

    Daah! Eti jitu linakaa kabisa linajisifu kuuwa! Mlichofanya October 29 mlivizia raia na hivi mlizima mitandao ndiyo maana hata habari za kwamba mnaua hadi watu majumbani zilijulikana baada ya mitandao kuwashwa! Oyaaaa! Safari hii kila mtu yuko rada hata wewe kuwa makini na hakuna mtu anayepambna...
Back
Top Bottom