Recent content by sub zero

  1. S

    Maskini walimu wa Tanzania

    ukiona mwalimu anaunga ccm mkono uyo anaakili kabisa na pengine ni wale walimu wa memkwa au wale vijana wa division 5 walioenda ualimu baada ya kawambwa kualibu mfumo wa elimu.
  2. S

    Kura yangu si ya majaribio…!!!

    nkwel siwezi kujaribu kwa ccm kwamba magufuli anaweza badilika. kama ukawa kua na wabunge tu tumeweza jua mengi kura kwa lowasa na wabunge wa ukawa miaka zaidi ya 50 nchi imewashinda atujaribu tena kwani tuna taka viongozi saivi. na so viongozi tulowachoka katika mfumo uliochoka na mfumo uliojaa...
  3. S

    Wiki ya kwanza ya mwezi Septemba, UKAWA watapatwa na mtikisiko Mkubwa sana ambao haujawahi kutokea

    bora ni mpe kura ya mbwa, jiwe, ata marehemu lakini sio kupigia mtu yeyote alioko ccm. Viva ukawa viva chadema aturudi nyuma
  4. S

    Chadema Ukerewe yambulia patupu

    uyo jamaa acidanganye ukerewe chadema inakubalika kwani Jana tumefungua kampeni zetu rasimi natumefungulia muriti mkutano ulifana vibaya ataukifananisha na ufunguzi wao ccm walikosa watu kabisa isiookua wao walibeba watu kutoka kila kata na pia walianza kufarakana kutokana na waliobebwa toka...
  5. S

    Akina mama Mkalama na Iramba waandamana kupinga kauli ya Lowassa

    photo speak louder than words. please we need a photo to trust
  6. S

    Umeambiwa, Lowassa ni muongo, tapeli, fisadi, na bado una mshabikia! Una matatizo makubwa

    sasa unafikiri niende ccm ambapo kila mtu ndo ameoza kwa ufusadi siwezi badilika kamwe lowasa 1 apa.
  7. S

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    ata mimi nimeshamuona Dr ni mnafiki kama awali alishakubali lowasa kuingia cdm ila aje na wabunge Hi ilikuaje wakati lowasa ni fisadi. pia nimeshangazwa tbc kumpa air time na kisha kupiga wimbo wa ccm mbele kwa mbele na kurudua tena mahojiano ya dr skaa tupo robo tatu ta safari aturudi. nyuma.
  8. S

    Dunia ya siasa imebadilika sana Tanzania! Sasa hivi mfuasi wa CCM anaishi kwa mashaka makubwa sana!

    acha unafki kama ukawa ilikua safi wakati yupo Slaa na lipumba mbona ukujiunga. zungumzia chama chako ambacho yupo tibaijuka mil 10 za mboga au mzee wa vijisenti.
  9. S

    Kutoka Jangwani: Uzinduzi wa Kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) - Agosti 29, 2015

    mtoa mda fanya utaft kabla ujaleta mda mh lowasa aliendelea kuelekea na kufafanua ilani ya chama baada ya pale. kisha watanzania awawezi kuchagua kupanda gari lililochoka kwa miaka zaidi ya hamsini kisa wamebadili dereva ati litakimbia
  10. S

    TANESCO wamekata Umeme sehemu kubwa ya Nchi ya Tanzania, leo 29th Aug 2015

    npo ukerewe mwanza wamekata pamoja na mara
  11. S

    Hatimaye ngoma sasa ni Lowassa vs Magufuli

    kua mkwel chambua siasa bila kuegemea upande wowote kiualisia ccm wanaofu kubwa na ndo maana uzinduzi wa kampeni zao Jana Aug 23 team ya ufunguzi walikuwepo maraisi wa awamu zote zilizopita ambacho nikitu akijawahi kutokea kipindi cha nyuma na katika uchaguzi zote.
  12. S

    Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA Edward Lowassa, akiwa kwenye daladala leo asubuhi

    wewe Sera azileti changes kwa lini sisiem awakuja na Sera. kwa sawa sera, chama pamoja na mtu. hakuna mabadiliko ndani ya ccm
  13. S

    UKAWA umejaa mfumo dume, wanawake msiwape kura

    ebu kua logical atakidogo unapojaribu kupost. kusimamisha mgombea mwenza mwanamke mtueleze ataisaidia vp Tanzania kutokana na umaskini iliyo sababishiwa na serikali iliopo madarakani
  14. S

    Mdahalo ITV: Umuhimu wa Maadili katika kuimarisha Amani, Umoja na Haki kuelekea Uchaguzi Mkuu

    kama anamchukia el reasoning ability take. ni ndogo kwani mgombea uraisi kupitia chama chake ni mchafu mno.
Back
Top Bottom