Spea zinapatikana siku hizi coz magari haya yamekuwa mengi mnoooo hapa mjini. bei hazijatofautiana sana na toyota na ziko sawa na swift. Kama ulivyosema mafuta haili sana; nimekuwa nikitumia mafuta ya 5,000/= kutoka mbezi(kimara)-mwenge na KURUDI MBEZI.
Asanteni kwa ushauri wenu!! ningeomba wakati wa negotiation na muhusika azungumze hayo anayohitaji kufanyiwa nje ya hiyo 5000/=.
Saloon zingine wanafanya kila pesa ya SCRUB, kuosha miguuu na zingine; zote zinakuwa kwa dada wa kazi. ninamaanisha kwa siku akifanya scrub tatu ni 6000/= ukiongeza wa...
Hi guys! nahitaji vijana watatu wenye ujuzi wa kufanya service air condition.
Note: Naomba asiwe mtu wa kujifunza kazi, awe ameshawahi kufanya service walau A.C 50 kwenye historia ya ujuzi wake.
Malipo: 7000/= kwa A.C moja.
Mawasiliano: 0685654180
1. Kinyozi wa kiume:
sifa:
-Awe na uzoefu wa kunyoa.
-Awe msafi/ Mtanashati.
-Asiwe na jeuri mwenye kuthamini wateja.
-Kila siku hesabu ni 10,000/= + 5,000/= ya dada. Inayobakia ni yako yote.
2. Dada wa kusaidia kazi saloon (Kuosha kichwa, kuosha miguu, scrub, n.k)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.