Ukiona mtu anatoa mada kwa matusi ujue ni dalili ya kushindwa na yeyr mwenyewe ni wa hovyo, pumba kbs sina haja ya kusoma mada za hovyo hovyo hujui unachokiongea bado mchanga kwenye siasa nyamaza huko nenda zako mzeeee
Tangu Magufuli afungue kampeni sijasikia akiongolea neno KATIBA
Kwangu katiba ni kete muhimu sana kwa UKAWA kushinda uchaguzi wa mwaka huu, CCM hawawezi kuzungumzia katiba kamwe kwenye mikutano yao kwa sababu wanajua dhahiri walitupilia mbali katiba ya Warioba yenye kubeba matumaini ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.