Recent content by Streetlife

  1. S

    Marekani nayo yatoa tahadhari kwa raia wake kuhusu maandamano ya tarehe 26/4/2018

    Easy easy mbona umepanic bro? Nyie si mmesema ni kahaba sasa povu la nini??
  2. S

    Siasa ni kama mchezo wa soka, Zitto amecheza kama Pele

    Where is 1.5 trillions????
  3. S

    US, UK and France launch airstrikes in Syria

    Waadmit wakati wameshakula mpunga wa Saudia inabidi tu wajitutumue hahahahah
  4. S

    US, UK and France launch airstrikes in Syria

    Hivi russia ingeamua kushiriki kuna hata missile moja ingetua kweli kama syria imeweza kuintercept hizo missiles zote
  5. S

    Urusi: Shambulizi lolote la Marekani nchini Syria litajibiwa

    Hahahahah Trump kishayakana maneno yake
  6. S

    Marekani kuweka masharti mapya ya viza

    Ni kweli ukiwa na passport za hizo nchi hauhiultaji visa kuingia US na unavyosema sijui wapopo na wabongo wangechukua uraia wa Sijui U.K au France wewe unafikiri ni mchezo kupata huo uraia kwa hizo nchi wachilia mbali uraia viza tu. na ata ukipata huwezi kuhitaji tena kwenda US maana maisha ni...
  7. S

    Bloomberg: Rising Political Violence Stalks Tanzania

    Mbona povu jingi hivyo mkuu#mtawafanya nini wazungu kwa mfano?? #
  8. S

    Angalizo kwa Taifa, Polisi na Vyama vya Upinzani nchini

    This man was for real na ni sababu ya yeye mpaka Tanzania inaheshimika huku Europe ukisema wewe ni mtanzania unaheshimika kuanzia wazungu mpaka waafrica wa nchi nyingine
  9. S

    Lissu alikutana na umoja wa Ulaya, ilikuaje?

    Oyaaaaa! Kichaa wangu sikusomi kabisa siku hizi, mbona umekua na tabia za kishamba? Kuonea watu ovyo,unawakaba unawachukulia mazagazaga yao, unawapiga wanawake kwa wanaume hata uoga Huna. Kwani unavuta unga siku hizi? Au Msuba?? Watu wakiongea kuhusu tabia zako unawakasirikia mara unawavizia...
  10. S

    Urambo: Polisi wamewazuia Viongozi wa ACT Wazalendo kukagua miradi ya maendeleo na kusema miradi yote ni ya Serikali

    Kusafiri ni elimu moja muhimu Sana binafsi naamini JK Safari zake za nchi mbalimbali zilimsaidia sana kumordernise akili ya kuweza kuishi na watu vizuri na kuweza kuchanganua mambo Kwa ufanisi #ukifanya utafiti utaona hilo#
  11. S

    Serikali ipeleke Muswada Bungeni kufuta Uraia wa Diaspora wanaohamasisha vurugu kwa Watanzania

    Hivi una Hivi unatambua kwa Sheria za kimataifa ukiwa kwenye eneo la ubalozi ni sawa na uko nchini kwako?
  12. S

    Jenerali Mabeyo(JWTZ): Kuna Viashiria vinavyotishia Usalama wa Nchi. Hatua zinachukuliwa kudhibiti hali hiyo

    Putin mwenyewe ni mbabe na ana jeshi la kisasa lenye nguvu ila anaheshimu nguvu ya umma watu wanaandamana kumpinga na haamrishi wanajeshi kuwaua sababu anajua akifanya hivyo ndio ameharibu sembuse nyie vikaragosi tulieni muone 26/4....#kama mnafikiri ni utani#
Back
Top Bottom