Mzee warioba yuko sahihi kabisa, yeye ndiye aliekuwa mwenyekiti wa iliyokuwa tume ya mabadiliko ya katiba, wajumbe wa chama chako baada ya kujadili rasimu aliyoileta bungeni kwa hoja, wao wamekuwa wakimshambulia jaji warioba direct tena kwa kashfa na matusi huku wakielewa kabisa wanafanya...
Vitisho ndio hasa mbinu kubwa ambayo CCM wanaitegemea ili kujihalalishia kuendelea kubaki madarakani, na hii mara nyingi inatokana na kufilisika sera na ushawishi kwa wananchi kutokana na kutawala bila kuwafikishia maendeleo walengwa ambao ni wanachi. Kosa kubwa la CCM wamekuwa hawasomi alama za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.