Naanza kwa kuweka wazi kwamba mimi ni team Magufuli na napenda maono ya rais Magufuli kwani ana nia njema na nchi yetu. Ni kupitia uongozi wa rais Magufuli leo Tanzania imekua na usawa wa kweli kwenye nyanja nyingi kama kiuchumi, kisiasa na kijamii.
Licha ya mazuri yanayofanywa na rais Magufuli...
Nina imani kubwa juu ya uwezo wa mwenyekiti wa CCM wa sasa na pia ninaimani hili litafanyiwa kazi na hatimaye tatizo hili la baadhi ya wabunge kutoka CCM kuishi Dar es Salaam badala ya majimboni litakomeshwa.
Riz1 Kikwete Mbunge wa chalinze ni miongoni mwa wabunge wenye tabia hizi ambaye tangu...
Mode hii tabia yakuunga mada hata kama zinafanana ila kama zimetolewa muda mrefu inapoteza maana,mmeunganisha mada yangu kwenye habari ilitolewa mwezi wa pili sidhani kama ni sawa
Salaam.
Nimeona ni vema niwasiliane na wahusika akiwemo mbuge Chalinze,waziri wa maji na mamlaka ya maji Chalinze(CHALIWASA) ili kuwakumbusha majukumu yao kwa wananchi walioamua kuwatumikia kwa matakwa yao wenyewe.
Pia nikiwa na imani wanajukwaa watatoa ushauri juu ya hii kadhia ya shida ya...
Naamini kwakua mh raisi amekiri hali ya sasa ya ugumu wa kupata fedha anahisi kuna raia wameficha fedha lakini hili jambo linahitaji suluhu mapema kwani ni mbaya sana mtaani
Ni vema sasa tukawaambia ili mjue kwamba hizi sheria za mitandao hazikutungwa ili kuwalinda viongozi,ni imani yangu sheria hizi zimetungwa ili kuwalinda watanzania wote bila kujali nyazifa na itikadi ya vyama.
Mara baada ya tukio la kuuwawa kwa polisi jana kwenye jaribio la uvamizi wa bank ya...
chadema hainaga wazee na ndio maana hua inamaamuzi ya hovyohovyo,we tizama hata ndani ya chama wengine hua wanawakosea adabu wazee,ni hawa walisema eti Dr kashikwa na mwanamke sio maamuzi yake yale.Ile haikua sawa kwani ukiachilia mbali siasa yule mwanasheria aliyetoa kauli ile ni kama kaitoa...
Juzi niliandika thread hapa jamvini yenye kichwa cha habari kisemacho: Waziri Nape, hizi kelele za kulipishwa vifurushi kutizama local channel kwenye ving'amuzi huzisikii?. JamiiForums wakamtafuta Waziri Nape naye akaahidi kulifanyia kazi.
Itakumbukwa kwamba channel zote za ndani ziliondoka...
Labda nitakua sielewi vizuri lakini ninachofahamu TBC wana hisa startimes na TBC ni shirika letu la uma ambalo lipo chini ya Nape,lakini pia ni kweli TCRA ndio mdau wa ving'amuzi vyote,shida si Nape sisi tunachotaka ni kuona channel za nyumbani bure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.