🕔 5:00 – 6:00 AM – Amka mapema
Salat (kama unaswali)
Omba au tafakari
Tengeneza kitanda
Maji ya uvuguvugu, limao au mazoezi ya kuvuta pumzi
🕕 6:00 – 7:00 AM – Mazoezi ya mwili
Cardio / Pushups / Jogging
Stretching
Kuoga baridi (inaongeza testosterone)
🕖 7:00 – 8:00 AM – Chakula cha asubuhi...
Kulikuwa na kijana mmoja, mnyenyekevu, mwenye moyo wa upendo na kujali. Alikutana na mwanamke ambaye alikuwa akifanya kazi Saudia. Kwa maneno mwanamke huyo alikuwa na mapenzi ya dhati kwake – alimuita majina mazuri, aliweka jina lake kwenye Facebook, akamfanya ajihisi kuwa mtu muhimu sana...
Vp Sasa mimi nishauri kidogo kama mdogo wako hiyi ni story yangu ya mahusiano hivi sasa Kulikuwa na kijana mmoja, mnyenyekevu, mwenye moyo wa upendo na kujali. Alikutana na mwanamke ambaye alikuwa akifanya kazi Saudia. Kwa maneno mwanamke huyo alikuwa na mapenzi ya dhati kwake – alimuita majina...
Kulikuwa na kijana mmoja mnyenyekevu mwenye moyo wa upendo na kujali. Alikutana na mwanamke aliyekuwa akifanya kazi Saudia. Kwa maneno, mwanamke huyo alionekana kumpenda kwa dhati.
Alimuita majina mazuri, akaweka jina lake kwenye Facebook na kumfanya ajihisi mtu wa thamani sana maishani mwake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.