Kuhusu changamoto za uendeshaji na kupata hasara za hapa na pale, binafsi naamini its a matter of market strategies, na ufahamu wa kifikra juu ya uendeshaji..
Habari wanajamii forum..
Naomba kufahamishwa..
Nataka kuagiza basi aina ya Youtong kutoka china,,,
Nataka kujua kuhusu
1..bei
2..ghalama za usafirishaji
3..kodi kwa hapa Tz
4.. Na ghalama nyingine kama zipo...
Lengo ni kuandaa cost analysis
Msaada wenu tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.