Kweli hii ni tanzania hilo haliwezekani kufungua kampuni kama hiyo aisee ni mikwara tu tuliona kenya wsnafunga simu za kichina mbona walijiona wenyewe ni wajinga wakaacha tu
Ufundi si darasa hizi ni vipaji kutoka kwa mungu tcra waangalie hilo kwa mara ya pili wasikurupuke mbona nchi inakuwa na siasa nyingi zingine hazina nyuma wala mbele
Kweli tanzania kuna vituko watu wamebeba tu makaratasi vichwani kuwa wamesomea kumbe awajui kitu kwanza mafundi wa veta ndio mabomu hawajui lolote ufundi ni kipaji si darasani wambieni TCRA wajue hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.