Recent content by steven23

  1. S

    TCRA kujenga kiwanda cha kutengeneza simu

    Kweli hii ni tanzania hilo haliwezekani kufungua kampuni kama hiyo aisee ni mikwara tu tuliona kenya wsnafunga simu za kichina mbona walijiona wenyewe ni wajinga wakaacha tu
  2. S

    TCRA kujenga kiwanda cha kutengeneza simu

    Ufundi si darasa hizi ni vipaji kutoka kwa mungu tcra waangalie hilo kwa mara ya pili wasikurupuke mbona nchi inakuwa na siasa nyingi zingine hazina nyuma wala mbele
  3. S

    TCRA kujenga kiwanda cha kutengeneza simu

    Kweli tanzania kuna vituko watu wamebeba tu makaratasi vichwani kuwa wamesomea kumbe awajui kitu kwanza mafundi wa veta ndio mabomu hawajui lolote ufundi ni kipaji si darasani wambieni TCRA wajue hilo
Back
Top Bottom