Recent content by Steven Masele

  1. S

    Maduka makubwa ya viungo Mwanza

    Wadau kwema nijuzeni Hivi ni wapi Mwanza jijini naweza kupata viungo vya pilau na chai kwa bei ya jumla? Pia ubuyu wa mbegu, vipande na mifuko ya jumla jumla kwa bei nafuu? Nijuzeni tafadhali kupitia namba ya whattssapp 0624726872 Natanguliza shukurani zangu za dhati ahsanteni sana.
  2. S

    Dawa ya kienyeji kali ya kurudisha mke ndoani

    Kwema wadau mke wangu aliondoka kitambo nahitaji arudi au huko alikopanga awe mke wangu wa pili najua akija zalishwa na wengine nitaumia mara mbili yake kumbukeni niliumia sana kipindi aliondoka nimekuja kuzoea baada ya mwaka nisaidieni jamani kwa ajuaye nimeona ndoa ni sehemu ya kupambana na...
  3. S

    Dawa ya kumpata mwanamke nimtakae

    Kweli inabidi nifanye hivyo, ila sasa walionitoka wote walikuwa washika dawa, wanaota hadi ndoto za kuchukuliwa kwenda kwa wachawi baadae wanarudishwa mimi waliniona story hizo haswa yule mke wangu wa kwanza ninapokuwa nae usingizini anaweza kuwa kama kapanda mizimu anakuambia huyo anabisha hodi...
  4. S

    Dawa ya kumpata mwanamke nimtakae

    Wadau habarini, Mimi nilioa mke akafuata ya Dunia starehe nilimtoa kijijini alitoka na vitu ving ikiwemo mimi kupata hasara na kuathirika kisaikolojia kwa muda mrefu. Nilirudi nyuma kimaendeleo. Nimekaa miaka miwili kamili nikapata mwenza mwingine na kuamua kumwoa. Mwenza huyu wa pili yaani...
Back
Top Bottom