#Updates CCM YAMSAMEHE MEMBE NA KUMRUDISHIA UANACHAMA WAKE.
Fahamu kuwa Halmashauri kuu ya CCM leo Alhamisi Machi 31, 2022 imemsamehe na kumrudishia uanachama wake Bernad Membe ambao uliondolewa Februari mwaka 2020 kwa makosa ya kinidhamu hii ni baada ya kuomba kuandika barua ya kuomba msamaha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.