[emoji23][emoji23][emoji23] trump angekuwa anaziona hiz comment nazan angeachatu masifa yani Leo nikiskia tu nyumba inatetema BC najuwa nibwana mkubwa trump kasha jibu balua kwamasifa yale ya trump nakwambia mpaka tuliopo mbez mwisho tutatetema akijbu mkuuu wa jimbo
Sent using Jamii Forums...
Achen kujidanganya mmarekan haingilik lamda apigwe kwenyekambitu nahapo kwakuvizia ila us yenyewe kabisa nivigumu angangumu wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Chakuangalia hapa irani asije akaingia ugov nanchi ningine zajiran akati mwenzie yupo mbar chakujiuliza hapo awe makin asije na yy akayavagaa kisa kulipza kisas
Sent using Jamii Forums mobile app
Maji niyamoto wakuu kwajins ninavo msikia rais wamarekan nayale masifa majiniyamoto sjuw kama atapona mtu ila iran nao wajalibu kutumia akil unapigana vipi namtu kwenye nchi yako yy yupo mbali zaid anakuchochea tu ugomvi mana hayo makombora hajapiga Marekan amepiga kwenye nchi za watu.
Sasa je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.