Recent content by Stephano Mgendanyi

  1. Stephano Mgendanyi

    Waziri Bashungwa: Wanafunzi Wapewe Elimu ya Matukio ya Dharura

    Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa ametoa wito kwa Viongozi na Wasimamizi wa Shule za Serikali na binafsi kutoa elimu kuhusu matukio ya dharura yanayoweza kutokea katika mazingira ya shule ikiwa ni pamoja na elimu juu ya majanga ya moto ambayo yamekuwa yakitokea...
  2. Stephano Mgendanyi

    Mradi wa Machimbo ya Dhahabu Nyanzaga Kuanza Utekelezaji Wake Mapema

    MRADI WA MACHIMBO YA DHAHABU NYANZAGA KUANZA UTEKELEZAJI WAKE MAPEMA -Waziri Mavunde akutana na Kampuni ya Perseus Dodoma leo -Awataka kuharakisha uendelezaji wa mradi -Asisitiza ukamilishwaji wa malipo ya fidia na uhamishwaji wananchi Waziri wa Madini Mh. Anthony Mavunde leo amefanya...
  3. Stephano Mgendanyi

    Serikali Kujenga KM 120 Barabara ya Lami Wilaya ya Mbogwe Mkoa wa Geita

    SERIKALI KUJENGA KM 120 BARABARA ZA LAMI WILAYA YA MBOGWE MKOANI GEITA "Barabara zitakazojengwa kwa kiwango cha lami ni kwa ufadhili wa Benki ya Dunia kupitia mradi wa RISE katika Wilaya ya Mbogwe zina jumla ya urefu wa kilomita 102 ambazo ni Barabara za Masumbwe - Iponya - Nyashimba (km 20)...
  4. Stephano Mgendanyi

    Aloyce Andrew Kwezi akichangia bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais TAMISEMI ya Tsh. Trilioni 10.125 Mwaka 2024/2025

    MHE. Aloyce Andrew Kwezi Akichangia Bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais TAMISEMI ya Tsh. Trilioni 10.125 Kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 "Nimpongeze Waziri wa TAMISEMI na timu yake yote, Namshukuru Mtendaji Mkuu wa TARURA ni Mtendaji makini sana. Kwa niaba ya Wananchi wa...
  5. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Martha Gwau: Kusoma kwa bidii ni kuishi kwenye ndoto zako

    Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Martha Nehemia Gwau ameshiriki Mahafali ya kidato cha sita Shule ya sekondari ya wasichana Tumaini iliyopo Kinampanda Wilaya ya Iramba akiwa mgeni rasmi wa mahafali hayo. Katika mahafali hayo, Mhe. Martha Nehemia Gwau aliambatana na wageni mbalimbali...
  6. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Ngassa Afanya Ziara Hospitali ya Wilaya Igunga

    MBUNGE NGASSA AFANYA ZIARA HOSPITALI YA WILAYA IGUNGA 1. Awaasa Wauguzi kuzingatia misingi ya taaluma (professionalism) na kanuni za maadili ya kazi kuhudumia wagonjwa. 2. Akemea lugha za mauzi na kebehi kwa wagonjwa. 3. Akagua ujenzi wa majengo mapya ya thamani ya Shilingi Milioni Mia Tisa...
  7. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Mavunde Kuwawezesha Kiuchumi Wajane Jimboni Dodoma Mjini

    MBUNGE MAVUNDE KUWAWEZESHA KIUCHUMI WAJANE JIMBONI DODOMA MJINI -Amshukuru Rais Dkt. Samia kwa kurejesha mikopo ya 10% -Aileta Dodoma Taasisi ya Fedha inayokopesha wajane bila riba -Awataka kuepuka mikopo ya kausha damu -Wajane kupewa mafunzo ya ujasiriamali Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini...
  8. Stephano Mgendanyi

    Martha Mariki akichangia Bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais TAMISEMI ya Tsh. Trilioni 10.125 Kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025

    MHE. Martha Mariki Akichangia Bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais TAMISEMI ya Tsh. Trilioni 10.125 Kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 "Namshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa jinsi anavyofanya kazi kubwa katika Taifa letu la Tanzania na katika Mkoa wa Katavi kwa kuleta fedha...
  9. Stephano Mgendanyi

    Serikali Kuwasaidia Wajasiriamali Kuzalisha Bidhaa Bora Ili Kupata Soko la Uhakika

    Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe (Mb) amesema kuwa mpango wa Serikali katika kuwasaidia wajasiriamali kuzalisha bidhaa bora ili kupata masoko ya uhakika. Mhe. Kigahe amabainisha hayo Aprili 16,2024 katika Ukumbi wa Bunge jijini Dodoma wakati akijibu swali la msingi la...
  10. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa na Mavunde Wakutana Kuweka Mikakati ya Kusimamia Utekelezaji wa Miradi

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde wamekutana na kujadili namna bora ya kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo ikiwa ni pamoja na upatikanaji wa Malighafi za ujenzi wa miundombinu itakayosaidia Makandarasi kukamilisha miradi kwa wakati na ubora...
  11. Stephano Mgendanyi

    Serikali Kutekeleza Miradi Saba ya Barabara kwa EPC+F

    Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya amewatoa hofu Waheshimiwa Wabunge kuhusu mpango wa Serikali wa utekelezaji wa miradi saba ya ujenzi wa barabara kwa utaratibu wa uhandisi, ununuzi, ujenzi na fedha (EPC+F) kuwa itatekelezwa kama ilivyopangwa. Mhandisi Kasekenya amesema hayo...
  12. Stephano Mgendanyi

    Serikali Kujenga Daraja la Mitomoni - Ruvuma

    Serikali ya Awamu ya Sita, Chini ya Wizara ya Ujenzi ipo mbioni kujenga Daraja la Kisasa na la Kudumu kwenye mto wa Mitomoni, kijiji cha mapotopoto ambalo litaunganisha Wilaya ya Songea Vijijini na Nyasa Mkoani Ruvuma. Hayo yamesemwa na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa leo tarehe 16 Aprili...
  13. Stephano Mgendanyi

    Waziri Kairuki Kumwakilisha Rais Samia Mkutano wa Kimataifa wa Miombo, Washington DC

    WAZIRI KAIRUKI KUMWAKILISHA RAIS SAMIA MKUTANO WA KIMATAIFA WA MIOMBO, WASHINGTON DC Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) anatarajia kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye mkutano wa Kimataifa kuhusu usimamizi endelevu wa...
  14. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Sebastian Kapufi: Tanzania Tuna Wakia Milioni 45 ya Akiba ya Dhahabu Leo Tunasomeka Kati ya nchi Masikini Duniani

    Mbunge Sebastian Kapufi: Tanzania 🇹🇿 kwa ujumla wake tuna Wakia Milioni 45 ya akiba ya dhahabu lakini leo tunasomeka ni kati ya nchi Masikini Duniani "Hotuba ya Waziri Mkuu Imezungumzia Maji, Misitu, Madini, Kilimo. Kuna Nchi Haina Msitu ni Jangwa. Kwa Nchi Yetu ya Tanzania 🇹🇿 Kila Kitu Kipo...
  15. Stephano Mgendanyi

    Bilioni 2.6 Zimetengwa Kwaajili ya Kugharamia Taulo za Kike

    NAIBU Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe Zainab Katimba amesema katika mwaka wa fedha 2023/24 Serikali ilitenga Sh Bilioni 2.64 kwa ajili ya kugharamia taulo za kike ambapo kati ya fedha hizo Sh bilioni 1.06 ni za ruzuku ya uendeshaji na Sh bilioni 1.58 ni fedha kutoka mapato ya ndani ya...
Back
Top Bottom