NW WANU ASISITIZA VETA KUWEKEZA KATIKA TEHAMA, AKILI UNDE NA ROBOTI ILI KUKUZA UCHUMI KIDIGITALI
Wilaya ya Chemba yapokea Shilingi Bilioni 1.83 Sekta ya Elimu kutoka Serikalini
Naibu Waziri Wanu Ameir azindua ugawaji wa vifaa vya Mafunzo ya Ubunifu, Ushonaji, Teknolojia ya Nguo na Umeme kwa...
𝗥𝗔𝗜𝗦 𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗔𝗧𝗢𝗔 𝗠𝗨𝗘𝗟𝗘𝗞𝗘𝗢 𝗖𝗛𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗡𝗖𝗛𝗜 𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗞𝗔𝗠𝗕𝗔𝗞𝗢
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 akizungumza na maelfu ya wananchi wa Makambako mkoani Njombe mapema asubuhi ya leo tarehe 6 Septemba 2025...
DKT. SAMIA KUJENGA VITUO 50 VYA KUHIFADHI PARACHICHI
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewahakikishia wananchi wa Mkoa wa Mbeya kuwa Serikali imejikita katika kuleta maendeleo ya kweli kwa wananchi, kwa kuwekeza katika...
TUKAPIGIE KURA CHAMA CHA MAPINDUZI - DKT. SAMIA
DKT. SAMIA - NAWAOMBA WANAMBEYA TWENDE TUKAPIGIE KURA CHAMA CHA MAPINDUZI
Maelfu ya Wananchi waliojitokeza katika mkutano wa Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tiketi ya Urais ambaye ni Dkt. Samia Suluhu Hassan Mbalizi, Mbeya
Kwenye Video ni...
WANU HAFIDH AMEIR MGOMBEA SAHIHI JIMBO LA MAKUNDUCHI, ZANZIBAR
Wananchi wa Jimbo la Makunduchi lililopo Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar wameonyesha kufurahishwa kumpata Mhe. Wanu Hafidh Ameir kama mgombea Ubunge wa Jimbo la Makunduchi katika kipindi hiki ambacho kuna miradi...
SERIKALI YAIMARISHA MIUNDOMBINU YA CNG KATIKA HARAKATI ZA KULETA MAPINDUZI YA NISHATI
📌 Vibali vya ujenzi wa vituo vya CNG kutolewa haraka ili kuvutia wawekezaji.
📌 Taasisi za kifedha zashauriwa kutoa mikopo kwa wawekezaji kwenye sekta ya gesi
📌 Kituo cha Puma Tegeta kuwa kituo kikubwa zaidi...
Siku 100 za Kwanza za Dkt. Samia Suluhu Hassan Atakapoingia Madarakani 2025 - 2030
Ahadi alizosema Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 wakati wa Uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika viwanja vya Tanganyika Packers Jijini...
KASI YA UJENZI WA VIWANDA VYA KUONGEZA THAMANI MADINI YAONGEZEKA NCHINI TANZANIA
☑️ Waziri Mavunde aweka Jiwe la Msingi Kiwanda cha Kusindika na Kuyeyusha Nikeli na Shaba - Dodoma
☑️ Ni maelekezo ya Mhe. Rais Samia kuyaongezea thamani madini ndani ya nchi.
☑️ Mradi kuchakata takribani tani...
BANDARI YAHUDUMIA TANI MILIONI 32 KUTOKA TANI MILIONI 18
Kufuatia maboresho, Bandari ya Dar es Salaam imehudumia tani milioni 32 kutoka milioni 18 mwaka 2021.
Hayo yameelezwa Agosti 26, 2025 wakati wa kikao cha wadau wa Kamati ya Maboresho ya Bandari, kilichoendeshwa na Katibu Mkuu wa Wizara...
MASACHE KASAKA ACHUKUA FOMU INEC YA UBUNGE JIMBO LA LUPA
MGOMBEA wa Kiti cha Ubunge wa Jimbo la Lupa, Wilaya ya Chunya Kwa tiketi ya CCM Ndg. Masache Njelu Kasaka leo tarehe 25/8/2025 amechukua fomu za uteuzi wa Wagombea Kiti cha Ubunge Jimbo la Lupa, Wilaya ya Chunya kutoka Kwa Msimamizi Mkuu...
ADV. STEPHEN BYABATO AMPIGIA CHAPUO KWA WANANCHI ENG. MUTASINGWA, UBUNGE BUKOBA MJINI
Salaam sana ndugu zangu
Naomba tusambaze ujumbe huu
Leo jumatatu ni siku ya tatu tangu Halmashauri Kuu ya CCM Taifa iteue wagombea Ubunge na Bukoba Mjini ikatuletea ndugu yetu Eng Johnston Johansen...
TANZANIA KUWA KINARA WA UTOAJI WA HUDUMA ZA KIMAABARA AFRIKA MASHARIKI NA KATI
▪️Waziri Mavunde aweka jiwe la Msingi wa Ujenzi wa Maabara ya kisasa
▪️Ni maabara kubwa ya uchunguzi wa sampuli za madini Afrika Mashariki
▪️Kugharimu Tsh Bilioni 14.3
▪️Rais Samia atajwa kinara wa mageuzi sekta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.