Recent content by Starwars91

  1. Starwars91

    JamiiForums Tanzania Rais Joe Biden ajikwaa mara mbili na kudondoka akijaribu kupanda ndege maalumu ya Air Force One

    Ex-soldier huyo. Aliumia kwenye vita Sent from my Infinix HOT 4 using JamiiForums mobile app
  2. Starwars91

    JamiiForums Tanzania Sebastian Mwavanga: Mlinzi wa Rais Magufuli aliyevutia wengi

    Of Kule Leo
  3. Starwars91

    JamiiForums Tanzania Nimepatwa na tatizo kwa sababu ya uzembe na niko hatarini kupoteza kazi

    Mkuu nidadavulie kidogo aise. Umeniacha hapa kiasi
  4. Starwars91

    JamiiForums Tanzania Nimepatwa na tatizo kwa sababu ya uzembe na niko hatarini kupoteza kazi

    Kwa nini tena mkuu. Mimi kinachonisumbua ni kupeleka maneno kazin Sent from my Infinix HOT 4 using JamiiForums mobile app
  5. Starwars91

    JamiiForums Tanzania Nimepatwa na tatizo kwa sababu ya uzembe na niko hatarini kupoteza kazi

    Sijampa mimba. Namba anaijua kwa sababu mchana yake tulisalimiana kwa SMS. Ila mida ya jioni nikapiga ndo baba akapokea. Sent from my Infinix HOT 4 using JamiiForums mobile app
  6. Starwars91

    JamiiForums Tanzania Nimepatwa na tatizo kwa sababu ya uzembe na niko hatarini kupoteza kazi

    Sina mahusiano naye mkuu. Sijawahi kuonana naya outside mazingira ya shule. Ni kujikwaa tu Sent from my Infinix HOT 4 using JamiiForums mobile app
  7. Starwars91

    JamiiForums Tanzania Nimepatwa na tatizo kwa sababu ya uzembe na niko hatarini kupoteza kazi

    Kwa nini mkuu. Nahitaji tu unipe muelekeo tu mkuu Sent from my Infinix HOT 4 using JamiiForums mobile app
  8. Starwars91

    JamiiForums Tanzania Nimepatwa na tatizo kwa sababu ya uzembe na niko hatarini kupoteza kazi

    Acha tu ndugu yangu. Majanga hata yanakuja bila kutegemea kabisa Sent from my Infinix HOT 4 using JamiiForums mobile app
  9. Starwars91

    JamiiForums Tanzania Nimepatwa na tatizo kwa sababu ya uzembe na niko hatarini kupoteza kazi

    Nasubiri tu. Nitashinda tu Sent from my Infinix HOT 4 using JamiiForums mobile app
  10. Starwars91

    JamiiForums Tanzania Nimepatwa na tatizo kwa sababu ya uzembe na niko hatarini kupoteza kazi

    Acha tu mkuu. Hapa nasubiri wakae kikao kesho. Sent from my Infinix HOT 4 using JamiiForums mobile app
  11. Starwars91

    JamiiForums Tanzania Nimepatwa na tatizo kwa sababu ya uzembe na niko hatarini kupoteza kazi

    Mkuu, huyo mtoto namba zangu alishazijua. Kwa hio nilivyopiga hakupokea baba akapokea. Akauliza nan? Nikajua labda ni mpenzi wake. Nikakata. Akanipigia baadae kwa namba nyingine akaanza kusema wewe ndo unamuharibu mtoto wangu. Akapiga kelele akakata simu. Nahisi mtoto wake alinitaja ni Mimi...
  12. Starwars91

    JamiiForums Tanzania Nimepatwa na tatizo kwa sababu ya uzembe na niko hatarini kupoteza kazi

    Sijawahi kumgusa huyo mwanafunzi Sent from my Infinix HOT 4 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom