Utangulizi: Tulipoishia mwezi uliopita,
Mwezi uliopita, kama mtaalamu na mzoefu wa utoaji huduma (Customer Experience/CX), niliorodhesha dalili za huduma mbaya Tanzania: vitu kama"chenji na pipi," simu zisizopokelewa, majibu kama"Boss/mkubwa hayupo," na hadithi ya mgeni aliyeambiwa aende...
"Karibu Tena?" Simulizi ya Huduma kwa Wateja Tanzania Kati ya Tabasamu la Bandia na Ukimya wa Kaunta.
Uchambuzi wa hali halisi ya huduma kwa wateja katika biashara za Tanzania kubwa na ndogo, mjini na vijijini.
Wahenga walisema "mteja ni mfalme." Lakini ni wafalme wangapi nchini Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.