wengi tumeshitushwa na matokeo ya kidato cha nne 2012,na kumekuwa na maoni mbalimbali na mengi toka kwa wadau mbalimbali wa elimu,moja ya maoni hayo ni pamoja na DK JOYCE NDALICHAKO ajiudhuru au kuachishwa kazi NECTA,kwangu mm napata shida kuelewa hoja hiyo,kwan sioni kosa la Ndalichako.Kwa...