Hapo ndipo ninapohoji. Waislam wengi wanatabiri kwa kutumia nyota. Na ukitumia nyota kutabiri utazungumzia machache kulingana na interest zako. Hata shekhe yYahaya alikuwa akitabiri kwa kutumia nyota na sio kuambiwa na roho wa Mungu kama wanvyodai watabiri wa kikiristo.
Shekhe Yahaya ni miongoni mwa watabiri wakubwa sana wa kiislam na Mola amrehemu huko alipo. Hoja yangu hakuna mtabiri anayetabiri kuhusu dini ya kiislam wanaotabiri wanatabiri kuongezeka kwa waumini wa kikiristo hasa wengi kuokoka n.k. ninachohoji kwa hawa watabiri ni kutozungumzia dni nyingine...
Habarini wana jf.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia tabiri za wachungaji mbalimbali hasa kwa miaka 3 mfululizo ingawa hata huko nyuma nilikuwa nikifuatilia. Mara nyingi watabiri wengi wamekuwa ni hawa wanaojiita manabii wa kikiristo wa makanisa ya kilokole. Nimekuwa nikitafakari sana kuhusu...
Whether you like it or not bible is just a story written by people kwa utashi nq maono yao na si kuongozwa na roho mtakatifu. Hayo ya kuondoleww baadhi ya vitabu ni kwakuwa waliotuletea kitabu hicho cha biblia walitakata tujue vitu fulani na vingine tusivijue. Walikuwa na malengo yao binafsi...
Suap
Suala hapa ni je luca alivuviwa na roho mtakatifu au alifanya utafiti na kusimuliwa na watu aidha walioshuhudia au kusimuliwa na wao juu ya habari za yesu. Luca anakiri mwenyewe kuwa kasimuliwa wewe unamtetea kuwa aliongozwa na roho mtakatifu. Kipi sasa tukiamini story yako au story yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.