Recent content by Sprouts pre School

  1. Sprouts pre School

    JamiiForums Tanzania Elite home tuition services

    Elimu bora huanza na maandalizi bora! Unahitaji mtoto wako kupata Home Tuition yenye mwalimu mwenye uwezo na ufuatiliaji wa karibu? 👉 Elite Home Tuition tupo kwa ajili yako! 💯 📖 Tunatoa masomo kwa: 👶 Pre-School 🏫 Primary 📚 Secondary 🎓 Advanced Level 🎓 University ✅ Cambridge & mitaala...
  2. Sprouts pre School

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Kwanini ukitaja jina la Yesu pepo linakimbia ? Kama huyu mtu hayupo lisingeogopa kwanini ukitaka jina la Yunes halitoki?
  3. Sprouts pre School

    JamiiForums Tanzania Je kijijini kwenu kuna hawa watu wanaomba kama vijiji vya kwetu?

    Ukienda pale kijijini kwetu, inakubidi uwe umechenji hela zako ziwe buku buku au buku mbili, Aise Wamezidi Kuomba, yaani usikutane na mtu anayekujua utasikia tu "We Kijana Wa Mama Flani ninunulie basi sukari" hujakaa sawa Huyu nae anataka Buku, Mara buku mbili. Kwa sisi watu Wa Vyombo Hadi...
  4. Sprouts pre School

    JamiiForums Tanzania Rachel dangwa ilibidi akamatwe Mapema sana maana alikua anatumia matusi ya nguoni

    Kwani ukitukana ndio unarejesha uhai ? Hauwezi kuzungumza kwa namna nzuri bila kutumia matusi ya nguoni?
  5. Sprouts pre School

    JamiiForums Tanzania Rachel dangwa ilibidi akamatwe Mapema sana maana alikua anatumia matusi ya nguoni

    Hata wewe key board warrior mda wowote unaweza kuweka kwenye mikono ya sheria ukaanza kutia huruma Mfano huyu unayemsuport endapo kakamatwa wewe mfuasi wake una namna yeyote unaweza msaidia?
  6. Sprouts pre School

    JamiiForums Tanzania Rachel dangwa ilibidi akamatwe Mapema sana maana alikua anatumia matusi ya nguoni

    Habari Hatukatai kwamba kwa sasa serikali inafanya mambo mengi ambayo wananchi hawayafurahii na kiwango cha uungwaji mkono ni kidogo sana kulingana na aina ya utawala uliopo Matukio mengi yanayoripotiwa kama ukosefu wa uwajibikaji ,vitendo vya rush wa, utekaji ,mauaji ya raia wasiokua na hatia...
  7. Sprouts pre School

    JamiiForums Tanzania Mtuhumiwa wa ulawiti ni sahihi kupewa adhabu ya viboko 7?

    Mahakama ya Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara imemhukumu kijana mwenye umri wa miaka 16 adhabu ya viboko sita baada ya kupatikana na hatia ya kosa la ulawiti, huku hukumu hiyo ikizua mitazamo tofauti kutoka kwa wadau wa sheria na ustawi wa jamii kuhusu uhalali wa adhabu hiyo kwa mtoto...
  8. Sprouts pre School

    JamiiForums Tanzania Tatizo la afya ya akili linavyomaliza wengi kimyakimya

    Hii gari imeonekana ikiwa imepaki pembezoni mwa uwanja wa hapa mtaani kwetu toka Jumanne ya wiki iliyo pita, mwenye gari hii alikuwa mdada. Huyu dada ilikuwa Kila siku saa mbili asubuhi anakuja na gari lake ana paki hapo anashuka na kiti chake anakaa hapo nje ya gari chini ya mti, halafu...
  9. Sprouts pre School

    JamiiForums Tanzania Karibu Elite Home tuition dar es salaam

    Unatafuta mwalimu bora wa kumsaidia mtoto wako kufanya vizuri shuleni? Elite Home Tuition tunaleta walimu wenye uzoefu nyumbani kwako kwa muda unaokufaa. Huduma zetu zinapatikana kwa: Pre-School, Primary na Secondary Mitaala ya Tanzania na Cambridge Masomo yote ya Sayansi, Sanaa na Biashara...
  10. Sprouts pre School

    JamiiForums Tanzania Tunafundisha Tuition nyumbani

    Huduma ya Home Tuition sasa inapatikana Majumbani! Tunatoa masomo ya ziada kwa wanafunzi wa: Pre-School Primary School Secondary School O-Level na A-Level 📖 Masomo yote yanapatikana kulingana na mahitaji ya mwanafunzi, pamoja na maandalizi ya mitihani, kuongeza ufaulu na kujenga uelewa wa...
  11. Sprouts pre School

    JamiiForums Tanzania Vijana hawa wanatafutwa, kama ukiwaona zawadi nono itatolewa

    Habari ya leo ! Matumaini Yangu mko vizuri. Kuna video mewawekea ya hawa vijana ninawatafuta sana na lengo ni kuwapa semina ya matumizi mazuri ya mtandao na madhara ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii. Kama umewahi kuwaona au unawafahamu nitashukuru ukinisaidia kuwapata. Video yao hii...
  12. Sprouts pre School

    JamiiForums Tanzania Tupatie mwanao tumfundishe na kumjengea uwezo mkubwa

    Tanzania nzima tunapatikana mawasiliano whatsup 0743567159
Back
Top Bottom