Elimu bora huanza na maandalizi bora!
Unahitaji mtoto wako kupata Home Tuition yenye mwalimu mwenye uwezo na ufuatiliaji wa karibu?
👉 Elite Home Tuition tupo kwa ajili yako! 💯
📖 Tunatoa masomo kwa:
👶 Pre-School
🏫 Primary
📚 Secondary
🎓 Advanced Level
🎓 University
✅ Cambridge & mitaala...
Ukienda pale kijijini kwetu, inakubidi uwe umechenji hela zako ziwe buku buku au buku mbili, Aise Wamezidi Kuomba, yaani usikutane na mtu anayekujua utasikia tu "We Kijana Wa Mama Flani ninunulie basi sukari" hujakaa sawa Huyu nae anataka Buku, Mara buku mbili. Kwa sisi watu Wa Vyombo Hadi...
Hata wewe key board warrior mda wowote unaweza kuweka kwenye mikono ya sheria ukaanza kutia huruma
Mfano huyu unayemsuport endapo kakamatwa wewe mfuasi wake una namna yeyote unaweza msaidia?
Habari
Hatukatai kwamba kwa sasa serikali inafanya mambo mengi ambayo wananchi hawayafurahii na kiwango cha uungwaji mkono ni kidogo sana kulingana na aina ya utawala uliopo
Matukio mengi yanayoripotiwa kama ukosefu wa uwajibikaji ,vitendo vya rush wa, utekaji ,mauaji ya raia wasiokua na hatia...
Mahakama ya Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara imemhukumu kijana mwenye umri wa miaka 16 adhabu ya viboko sita baada ya kupatikana na hatia ya kosa la ulawiti, huku hukumu hiyo ikizua mitazamo tofauti kutoka kwa wadau wa sheria na ustawi wa jamii kuhusu uhalali wa adhabu hiyo kwa mtoto...
Hii gari imeonekana ikiwa imepaki pembezoni mwa uwanja wa hapa mtaani kwetu toka Jumanne ya wiki iliyo pita, mwenye gari hii alikuwa mdada.
Huyu dada ilikuwa Kila siku saa mbili asubuhi anakuja na gari lake ana paki hapo anashuka na kiti chake anakaa hapo nje ya gari chini ya mti, halafu...
Unatafuta mwalimu bora wa kumsaidia mtoto wako kufanya vizuri shuleni? Elite Home Tuition tunaleta walimu wenye uzoefu nyumbani kwako kwa muda unaokufaa.
Huduma zetu zinapatikana kwa:
Pre-School, Primary na Secondary
Mitaala ya Tanzania na Cambridge
Masomo yote ya Sayansi, Sanaa na Biashara...
Huduma ya Home Tuition sasa inapatikana Majumbani!
Tunatoa masomo ya ziada kwa wanafunzi wa:
Pre-School
Primary School
Secondary School
O-Level na A-Level
📖 Masomo yote yanapatikana kulingana na mahitaji ya mwanafunzi, pamoja na maandalizi ya mitihani, kuongeza ufaulu na kujenga uelewa wa...
Habari ya leo ! Matumaini Yangu mko vizuri.
Kuna video mewawekea ya hawa vijana ninawatafuta sana na lengo ni kuwapa semina ya matumizi mazuri ya mtandao na madhara ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii.
Kama umewahi kuwaona au unawafahamu nitashukuru ukinisaidia kuwapata.
Video yao hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.