Yani ni kwamba hatujaitwa kufanya interview mpka sasaivi na karibu kada zote tayari zishafanya interview kwa level zote mpaka za wasaidizi kasoro sisi afisa hesabu wasaidizi
Naomba kuwasilisha maulizo yangu kwa wadau kuhusu sisi maafisa wasaidizi wa hesabu (assistant account officer), ambao tuliomba nafasi za kazi MDAs na LGAs ni lini tutaitwa kufanya interview
kiuhalisia tumekata tamaaa wengi wetu tukifikiria kwamba tumetengwa maana kila kada karibia zote...
Mwanamke bikra haaachi hovyohovyo mzee kakutunuka wewe labda mpka akimpenda mwengne kwaiyo relax wakati huu ni wako utumie vizuri nakwambia hivyo kwasababu na mimi nipo kwenye situation kama yako ndio maana nikaandika uzi sasa mm huku hakuna kitu sijafanya na ukitaka kupeleka moto ndio hvyo...
Ebana mzee huwa wapo hivyo hvyo lkn naimani kama kakuchanulia miguu kakutunuku kama mm huku hvohvo ila tunakuwa na huruma sema tukaze mwanangu tuue anasoma chuo gan mana kuna vyuo kuna mafisi sana wanaweza kuruka nae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.