there is something fish about this saga. Something somewhere is wrong.
Kila jambo lina gharama zake, ni bora kuwa wakweli kwamba you gain some you loose some.
Tujiulize tu, je kuna manufaa zaidi kwa kumpata lowassa na kumpoteza slaa, kama kuna net gain then
lets face it na maisha yaendelee...
Its obvious Pengo anatumiwa na watawala kuvuruga maoni ya wananchi. Yeye kama mjumbe wa jukwaa la wakatoliki na jukwaa la wakristu kwa ujumla lazima awajibike kwa tamko la jukwaa ambalo hata yeye binafsi ali sign (collective responsibility). kwa kweli mimi kama mkatoliki naona swala hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.