Ndiyo kwa maana kiwanja ni chake . Kinachofanyika tu ni kwamba gharama ya kujenga frame inatoka kwangu kwa kuwa yeye kwa sasa hana pesa ya kujenga . Hivyo basi gharama inayotumika kujenga ni sawa na gharama ambayo nimelipia kodi kwa muda flan au miaka kadhaa lkn tumetengeneza mkataba wa...
Safi sana mkuu na mimi nitakutafuta unipe maarifa zaidi nina mpango wa kufanya hii biashara ingawa lengo langu ni kufikia kuuza vipuri, urembo na matengenezo kwa magari lkn kutokana na mtaji pia na mazingira nimeona nianze kwa pikipik na bajaji nikiwa na weka spare za magari kidogo kidogo maana...
Wana Jf kwa yoyote mwenye uzoefu na interview za Tanroads naomba mbinu zaidi na most of questions ambazo huwa wanatoa katika usaili.
Nimeitwa usaili wa weighbridge operator Tanroads geita usaili unafanyika tarehe 22 mwezi huu wa 6.
Utapeli ni kila sehem au maeneo ya biashara mkuu cha msingi ni kuwa makini Sana na matapeli asante kwa kutoa taarifa mapema pia nasisitiza kwa kila mtu manunuzi ya Aridhi yanatakiwa kuwepo na uongozi wa Kijiji ambapo ndo shahidi ktk upande wa serikali nazan ni njia moja wapo itasaidia kupunguza...
CONTACTS :
WhatsApp, sms & Call :
+255763110764/+255625689363
Karibu uwekeze ktk Aridhi na mashamba ya miti
Zifuatazo ni faida utakazonufaika:
1.Shamba la miti litakunufaisha ufikiapo mda wa kuvuna waweza kuvuna mbao au milingoti ya nguzo za umeme na kuuza inategemeana na aina ya miti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.