Kwanza nashukuru kwa kuliona na kulijibu bandiko hili,
Pili niwaombe radhi TANESCO sitaweza kuwapatia namba ya simu maana mwanzo ilitokea namba hiyo mliwapa walewale wenyeviti na watendaji husika wa vijiji na vitongoji ambao nao wanakula pamoja na walalamikiwa bila nyinyi kujua.
Hivyo hili ni...
Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Nikiwa kama muwakilishi wa wanakijiji wenzangu wenye uchungu,majonzi na masikitiko.Moja kwa moja nafikisha malalamiko kwenu shirika letu la umeme Tanzania TANESCO juu ya RUSHWA kubwa iliyotawala katika usimamizi wa mradi wa umeme wa rea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.