Recent content by Spidergurl

  1. S

    Vituo vya Polisi vinavyoshutumiwa kuwatesa watuhumiwa wanaposwekwa rumande Tanzania

    Kituo cha polisi central ya dar. Tena wakijua mtuhumiwa ni mhindi utakandamizwa balaa. Afande obadia mpelelezi Wa central acha kulinda na kutetea wahalifu
  2. S

    Sugu ashinda kesi dhidi ya Faiza kuhusu malezi ya mtoto, Faiza aomba nafasi ya kujirekebisha

    FrOM UTURN BLOG WANAWAKE WA MBEYA MSIMPIGIE KURA SUGU…. ETI KWA NINI MH.SUGU HAWEZI INGIA KWA MALKIA? MANGE 38 COMMENTS JUN 25,2015 UNCATEGORIZED Mie nimejitolea kumtafutia mama mzazi wa Sasha information zenye uhakika ambazo nae ataweza kutumia mahakamani na sio mahakamani tu hata...
  3. S

    Mange Kimambi ampigia kura Daimond

    kuweweseka inamaanisha sindano zimekuingia vizuri... job well done
  4. S

    Sugu ashinda kesi dhidi ya Faiza kuhusu malezi ya mtoto, Faiza aomba nafasi ya kujirekebisha

    Faiza amehojiwa na wanaharakati na hizi ni hoja zake: 1.kwamba sugu nae hafai kuwa baba kwasababu ni mvuta bangi (hili wana hip hop wenzake mtasaidia) 2. Sugu si mkaaji nyumbani so mtoto ataishi kwa bibi au mama sugu. Hapa kuna madogo ambao wamekuwa wakimlala Dada Wa kazi kwa mpigo kiasi...
  5. S

    Adam Mchomvu na Fetty, safi sana!

    ni kweli lazima nitumie ya pili manake MBN imekula ban...mbona bukuku tu
  6. S

    Ushabiki wa Teams unaua vipaji na muziki wa Tanzania

    ni kuelewa au tunavote kwa tunayemtaka kimya kimya? Asipojifunza kwa hili basi hatakaa ajifunze. unampenda basi ukamshauri.
  7. S

    Adam Mchomvu na Fetty, safi sana!

    hahaha nikunote umekuwa celeb kama wema a.k.a mbunge ajaye (najua hupendi kusikia ubunge wa madame ila itabidi uvumilie tu)... kujijua najijua sana tu manake binadam yeyote bila kujijua basi hajakamilika. bye for this year..
  8. S

    Dodoma: Maduka yafungwa na TRA kisa Mheshimiwa kauziwa bidhaa bila risiti

    Ndugu yangu na mimi ni mhanga wa hii system mbovu na sihusiki kabisa na hii serikali. ninaloongea nimeliona kwa macho. kodi ni ukoma kwa mtanzania labda yule wa kwenye ajira ya kuajiriwa inayokatwa moja kwa moja na hii VAT. hata mlio na mashine tayari mbona hamtaki kuzitumia? lady jaydee pale...
  9. S

    Adam Mchomvu na Fetty, safi sana!

    anyhow, all in all point ni wao kutenda kile wanachohubiri. kama ni kukosa uzalendo wameanza wao
  10. S

    Adam Mchomvu na Fetty, safi sana!

    kwa bahati mbaya leo nimekuquote
  11. S

    Mange Kimambi ampigia kura Daimond

    hivi hujui kumbe?? it is only in Tanzania where i still find people like u still believing in the uniformity of human behavior. You just have to reset your brain coz we are in the 21st century where personal freedom is the deal of the day.
  12. S

    Adam Mchomvu na Fetty, safi sana!

    Walianza kuzidiss kwanza ndio bifu lilipopamba moto mwenyewe akasema km hawapigi poa tu na akifa wasimzike.
  13. S

    Adam Mchomvu na Fetty, safi sana!

    Kichaa? Hahah dhana ya Uhuru binafsi ni ndoto kwako. Si makosa yako
  14. S

    Adam Mchomvu na Fetty, safi sana!

    Hivi nyimbo za lady jaydee nazo sio za mtanzania eehh?,nyimbo za akina wizkid, TI, flava, psquare ni za watanzania? Huu uzalendo clouds wanaouhubiri ni UPI? Jide ni mtanzania wamemsusa miaka tena na bifu la kumshusha juu ila Leo kisa diamond ndio uzalendo wanauibua?? Kama uzalendo anzeni na...
Back
Top Bottom