Kituo cha polisi central ya dar. Tena wakijua mtuhumiwa ni mhindi utakandamizwa balaa. Afande obadia mpelelezi Wa central acha kulinda na kutetea wahalifu
FrOM UTURN BLOG
WANAWAKE WA MBEYA MSIMPIGIE KURA SUGU…. ETI KWA NINI MH.SUGU HAWEZI INGIA KWA MALKIA? MANGE 38 COMMENTS JUN 25,2015 UNCATEGORIZED
Mie nimejitolea kumtafutia mama mzazi wa Sasha information zenye uhakika ambazo nae ataweza kutumia mahakamani na sio mahakamani tu hata...
Faiza amehojiwa na wanaharakati na hizi ni hoja zake:
1.kwamba sugu nae hafai kuwa baba kwasababu ni mvuta bangi (hili wana hip hop wenzake mtasaidia)
2. Sugu si mkaaji nyumbani so mtoto ataishi kwa bibi au mama sugu. Hapa kuna madogo ambao wamekuwa wakimlala Dada Wa kazi kwa mpigo kiasi...
hahaha nikunote umekuwa celeb kama wema a.k.a mbunge ajaye (najua hupendi kusikia ubunge wa madame ila itabidi uvumilie tu)... kujijua najijua sana tu manake binadam yeyote bila kujijua basi hajakamilika. bye for this year..
Ndugu yangu na mimi ni mhanga wa hii system mbovu na sihusiki kabisa na hii serikali. ninaloongea nimeliona kwa macho. kodi ni ukoma kwa mtanzania labda yule wa kwenye ajira ya kuajiriwa inayokatwa moja kwa moja na hii VAT.
hata mlio na mashine tayari mbona hamtaki kuzitumia? lady jaydee pale...
hivi hujui kumbe?? it is only in Tanzania where i still find people like u still believing in the uniformity of human behavior. You just have to reset your brain coz we are in the 21st century where personal freedom is the deal of the day.
Hivi nyimbo za lady jaydee nazo sio za mtanzania eehh?,nyimbo za akina wizkid, TI, flava, psquare ni za watanzania?
Huu uzalendo clouds wanaouhubiri ni UPI? Jide ni mtanzania wamemsusa miaka tena na bifu la kumshusha juu ila Leo kisa diamond ndio uzalendo wanauibua??
Kama uzalendo anzeni na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.