Hizi ninazo taja hapa nenda hazina dhiki ila zilizobaki nje ya hapo ambazo sijazitaja kuwa makini sana na fanya tafiti vya kutosha kabla ya kwenda
1. Mifuko ya hifadhi yote na bima PSSSF, NSSF, NHIF, WCF
2. Taasisi zilizo chini ya wizara ya fedha Hazina, BOT, UTT, IFM, CSMA, CAG, UTT
3. Taasisi...