Nawashukuru sana wadau wote kwa mawazo, ushauri na michango yenu kuhusiana na sakata langu la ndoa. Kuna waliotoa mawazo mazuri sana, Mungu awabariki kwa moyo wenu wa kunijali. Pia kuna walioleta utani na kunifanya nitabasamu, Mungu akubarikini pia.
Bado nawakaribisha kuendelea kutoa mchango...
Ndugu zangu nmejaribu kuwaweka wazi ni wapi hapajaeleweka vema viongozi mmi nipo hapa kupata uafadhali kaka.
Kwa maelezo yangu mwanamke alisafiri ghafla apo sku tatu simu haipo hewani nikapiga simu Kwa mfanayakazi ambaye ndye kama bosi after kuongea nae yeye kanipa taarifa alisafiri katka...
Jambo la kwanza kaka ni yeye kusafiri bila kunipa taarifa siku tatu maelezo yake ni kuwa mgonjwa na simu iliharibika according to here
Kosa langu mim kuongea na wafanyakazi wenzake baada ya yeye kutompata hewani hizo siku
Na katk maongezi yetu na hyo yalikuwa ya kawaida tu mosi aliniuliza kwann...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.