Recent content by spanerboy

  1. spanerboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa yangu matatani baada ya mke wangu kudai nimemdhalilisha

    Maneno tu broo
  2. spanerboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa yangu matatani baada ya mke wangu kudai nimemdhalilisha

    Watu buana,hongera Kwa mawazo yako
  3. spanerboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa yangu matatani baada ya mke wangu kudai nimemdhalilisha

    Nashukuru I will doo
  4. spanerboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa yangu matatani baada ya mke wangu kudai nimemdhalilisha

    Asante kaka nashukkru pia
  5. spanerboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa yangu matatani baada ya mke wangu kudai nimemdhalilisha

    Nawashukuru sana wadau wote kwa mawazo, ushauri na michango yenu kuhusiana na sakata langu la ndoa. Kuna waliotoa mawazo mazuri sana, Mungu awabariki kwa moyo wenu wa kunijali. Pia kuna walioleta utani na kunifanya nitabasamu, Mungu akubarikini pia. Bado nawakaribisha kuendelea kutoa mchango...
  6. spanerboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa yangu matatani baada ya mke wangu kudai nimemdhalilisha

    🙏🙏
  7. spanerboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa yangu matatani baada ya mke wangu kudai nimemdhalilisha

    Nmekujibu kaka
  8. spanerboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa yangu matatani baada ya mke wangu kudai nimemdhalilisha

    Mngeshanya hvo kabla sijaandika hapa kufika hapa maana yake hcho hakiwezi kutokea katu hapa ni kupata mawaidha Kwa jeiefu
  9. spanerboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa yangu matatani baada ya mke wangu kudai nimemdhalilisha

    Ndugu zangu nmejaribu kuwaweka wazi ni wapi hapajaeleweka vema viongozi mmi nipo hapa kupata uafadhali kaka. Kwa maelezo yangu mwanamke alisafiri ghafla apo sku tatu simu haipo hewani nikapiga simu Kwa mfanayakazi ambaye ndye kama bosi after kuongea nae yeye kanipa taarifa alisafiri katka...
  10. spanerboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa yangu matatani baada ya mke wangu kudai nimemdhalilisha

    Jambo la kwanza kaka ni yeye kusafiri bila kunipa taarifa siku tatu maelezo yake ni kuwa mgonjwa na simu iliharibika according to here Kosa langu mim kuongea na wafanyakazi wenzake baada ya yeye kutompata hewani hizo siku Na katk maongezi yetu na hyo yalikuwa ya kawaida tu mosi aliniuliza kwann...
  11. spanerboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa yangu matatani baada ya mke wangu kudai nimemdhalilisha

    Umezungumza kweli kaka tajitahdi
  12. spanerboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa yangu matatani baada ya mke wangu kudai nimemdhalilisha

    Ndio maan nmekuja kwenu
  13. spanerboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa yangu matatani baada ya mke wangu kudai nimemdhalilisha

    Kaka maneno yal Nashukkru sana Kwa ushauri mzuri umeeleza vizuri 🙏🙏
  14. spanerboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa yangu matatani baada ya mke wangu kudai nimemdhalilisha

    Hahahaha 😂
  15. spanerboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa yangu matatani baada ya mke wangu kudai nimemdhalilisha

    Thanks big broo I will do
Back
Top Bottom