Sidhani kama kweli ni risk kwa usalama wa taifa. Ila ninachokiona mie ni risk kwa watawala na chama chao. Tuweni wakweli! Kama serikali imeamua kukagua watumishi basi ifanye hivyo kwa wote kwa usawa na haki. Vinginevyo serikali inajitafutia chuki bila sababu.
Ubovu wa katiba iliyopo ndio inaleleta mlolongo wa shida kubwa zote ambazo watanzania tunazo kama rushwa, ufisadi na wizi. Katiba ya 1977 iko katika muktadha wa chama kimoja CCM (chama kushika hatamu) hilo halina ubishi na hapo ndio tatizo linapoanzia. Vyeo na madaraka vinatoka kwa kuzingatia...
Hakuna lolote hapo. Wanachotaka ni mh. Kafulila akashughulikie kesi ili asizungumze kuhusu escrow katika bajeti ya wizara ya nishati na madini. CCM mnatumia akili ndogo sana.
UKAWA hawako serious naona wanatutania kama sio kuleta masihara. Hakuna tofauti kubwa ya kimkakati ya ushindi na miaka iliyopita. Kwa mfn nimeenda Majohe Kichangani Gongolamboto wasiopenda CCM wanalalamika kuwa upinzani hawafahamiki ni nani anagombea na kilichonishangaza ni kuona mgombea wa CCM...
Ajali mbaya ya kutisha imetokea muda huu maeneo ya Mang'ula kituo baada ya Ifakara mjini. Ajali imehusisha treni inayoelekea DSM na basi linalofanya safari za DSM-Mlimba Morogoro.
Watu wengi sana wahofiwa kupoteza maisha kutokana na jinsi basi lilivyo haribika. Dereva wa basi ametoka mzima na...
Nimeyapokea matokeo kwa masikitiko makubwa sana. Matokeo yanashtua sana sana, matokeo hayo yanatoa taswira halisi matokeo ya kidato cha nne baada ya miaka minne mbele ambayo bila shaka yatakuwa na tofauti kubwa sana pia.
Sina hakika sana mshtuko nilionao mimi juu ya tofauti ya matokeo hayo...
Wanatulazimisha kuikubali katiba iliopendekezwa kwa misingi miovu na ya kilaghai!!! Katiba ambayo itawanufaisha kina Makamba, RizMoko, Hmwiny, Fmamvi na baba Zao. Me nashangaa Hawa vijana wa Lumumba wanavyokaza mishipa ya shingo kuitetea. Fikirisheni vichwa vyenu jamani Tuikomboe Jamhuri ya...
Kama mnalijua hilo iweje nyie mmeweka yote mnayoyataka nyie? Mmejitoa ufahamu mkachakachua maoni ya wananchi sasa na sisi ni zamu yetu. Hapana kwa waraka pendekezwa wa Chichiemu ndo habari ya mujini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.