Ni upuuzi kudili na mtu ambaye hayuko kwenye uongozi wa nchi. Wakenya ni watu wanajitambua sana huwesi wasikia wana msakama Raial Odinga hatasiku moja na Raia yuko kwene siasa enzi za Moi hadi leo hii. Watanzania tukubali tuna ujinga mwingi sana na watu wanatumika kama Kondomu.
Mama wa mtoto kafariki, au ana tatizo la Kiafya la kumfanya asinyonyeshe?Lactogen hizo zimetengenezwa kama kuokoa maisha ya mtoto endapo mama wa mtoto Kafariki au kapata tatizo kubwa sana la kiafya la kumfanya asinyonyeshe, Lactogen sio mbadala wa mama mama mzazi ambaye ni mzima na yupo tu ila...
Juzi kuna mshikaji jafanyiwa oparation kwa tatizo kama hili kwa asilimia 100.
alitumia sana miti shamba kama wewe ila kumbe akaja kuta kuna mrija imejisokota kwenye kibofu huko, wahi Pimwa vipimo vya maana na unaweza kuta tatizo ni kama la jamaa.
Kapime faster
Yes, na pia wana. export. kwenda nchi za Ulaa, yaani wanazikata wanaweka kwenye Makontena wana Export
zinatumilq bado, kusambazia umeme wanazitumia, za Zege ni za kusafirishia umeme
Nisha zitumia sana na nina watu wanazitumia, India inahadi Hospitali za kutibu kwa Madawa ya asili, Uliza Raila Odinga yule Binti wake alienda kuponea Macho India.
Pia kuna hizi hapa kutoka India pia ila kampuni tofauti na Himalaya.
Hao ni Zest unaweza google pia ukaziona.
Hizo aina Tatu hapo pia ni nzuri sana ni za Kienyeji India, na unaweza pata maelezo yake zaidi kwenye google.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.