Kumekuwa na wimbi la matetemeko hapa HANANG Kutokana na majanga yaliyotukumba mwaka 2023, ya maporomoko ya tope Toka mlima Hanang, bado wananchi wanahofu ya kukumbwa na janga lingine.
Hivyo basi serikali tumeni wataalamu waje wafanye uchunguzi.Tuchukue tahadhari kabla ya hatari
Siku za karibuni upuuzi umekuwa mwingi sana mara tuongoze viwanja vya ndege,mara ligi Bora ,mara mama Bora Africa mara tuongoze Kwa uchumi duniani sasa tunaongoza utalii.Ila tuliopita jeshini Kuna Ile amri ya nyuma geukaa...wa Kwanza anakuwa wa mwisho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.