Nikuambie kitu bro. kwanza hilo neno "golikipa" ni baya tena chafu,km utaingia kwenye ndoa kwa tamaa za mali hutaona tamu ya ndoa hata siku moja,ndoa ni kumpata yule ambae unahis atakuridhisha kifikra,kimwili,kihisia,kinyumbani na hata kimazingira pia,unaweza kumuoa asiye na kazi na ukamfanyia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.