Kunamikataba inatutesa mbaka leo wakulima wananyang'anywa mashambayao yaliyomo maeneo yamigodi kisa mikataba yakipumbavu hii ilikua starting point kwawatanzania kwan viongozi wanaona wanaongoza watu wasio naakili Ivo wanaamua mambo kilahisi sanaaa
Tumia akili Basi daaa kwasababu raisi kile nicheo naanavotoka nyalaka anaziacha inaonekana watanzania wengi wanaelewa kama wew ndiomana hawalipi uzito hili swala kasome mkataba alafu uje namajibu then nenda kwenye katiba uone principle of sabrogation ili ujue raisi ajae ataingiaje kwenye mkataba...
nashangazwa kuona wasomi wanchi wanaunga kuiteketeza nchi, ukizungumzia bandari ndio uchumi wa nchi na bandari ndio huamua imports na exports yan kipi kiingie kipi kitoke, na kisikitisha zaidi maelfu yawatanzania wamejiajili huko inamaana bandari zikibinafsishwa watanzania wataenda kunyanyaswa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.