Recent content by sossy mtao

  1. S

    Kikwete unamuogopa Mwakyembe

    Jamani haya yote,wamaweza kua saw a au si sawa,ila nijuavyo mm kwa maoni yangu mwakwembe kahamishwa wizara kwa kua wakubwa Fulani walikua wanashindwa kupitisha poda zao hapa D.I.A kwani Hali ilikua ngumu sana na wapo wanajulikana ss kwa shinikizo lao hao mazungu Wa poda walimshauri Mzee tutolee...
  2. S

    Siri imevuja Kutoka Zanzibar Resort: Mwigulu kung'olewa CC, JK ashinikizwa

    Kiukweli kabisa ccm inapoteza dira kwani dhahiri sairi ndani yao kuna kugeukana,na wasipo tazama ccm chali inabaki ukawa
  3. S

    Lembeli: Muhongo anaiangamiza CCM

    2015 ni peoplezzzzzz powerrr mtake mistake ccm imeshindwa kufanya ya wananchi wengi imefanya ya watu wachache wakiwemo mafisadi na walarushwa
  4. S

    Lembeli: Muhongo anaiangamiza CCM

    Hata wakimwajibisha muhongo au yeye mwenyewe kujiuzuru bado haitoshi,inatakiwa wastakiwe na kufilisiwa mali zao zote
  5. S

    Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

    Baba Wa taifa hili hayati julias nyerere alisema kikwete hafai kua rais wa nchi hii,ila chama chake cha majambazi kilimweka ili waweze kudhulumu pesa za walipa kodi
Back
Top Bottom