Hilo nalo neno.kwa wan aume kuwa na wake wawili ni sawa kabisa hata zaidi lakini mwana mke kuwa na waume wawili ni umalaya na jamii wala haiwezi kumtambua mwanamk e kama huyo.unatolea wapi changamoto zako!
Ila minawashangaa hawa mademu ambao wanapigwa chini then mshikaji akiamua kumt okea dem mwingine nao wanaibuka hawajiu lizi kwanini niliachwa ili apate ufafanuzi wa tatizo lake anaendelea kujinadi jf labda atatong ongozwa ajitahidi
Jamani waungwana wapenzi ukurasa huu wa jamii naombeni msaada.minasumbuliwa na utiwa mgongo miaka mitano nazaidi nimehangaika kila hospitali na c.t.scan nimfanya mara2hakuna tatizo lkn ninaumwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.