Agent wako kiboko, hatahajui gari anauza bei gani. Hata picha za gari anayouza atakua hana maana nimemuuliza gari yako unauza na shingapi na nitume picha toka jana amekimbia hajajibu text yangu[emoji1][emoji1][emoji1]
Asante sana Mkuu, mawazo yako yanamchango mkubwa sana na uzoefu wako ni mhimu pia.
Tunahitaji mawazo na ushauri kama huu ndio maana tunaposti humu, mtu anakwambia huwezi pata kwa bei hiyo au ongeza hela uagize nje.
Ningekua na hela ya kuagiza nje ningeagiza, tujaribu kumshauri mtu kulingana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.