Recent content by Soja

  1. S

    Gazeti la Jambo Leo... Vituko vitupu!

    Sijaona mantiki ya GT kuorodhesha wasifu wa hao aliowataja eti tu kwa sababu wanafanya kazi katika gazeti la Jambo Leo.Ninavyoona mimi ni kwamba GT anachuki binafsi na hao wote aliowandika kwamba walifukuzwa kazi hapa na pale. GT hebu andika mambo ya maana ya kuelimisha jamii ndani ya think tank...
Back
Top Bottom