Recent content by Sohotoka

  1. Sohotoka

    Kuuliza si ujinga, Mamelod Sundowns wa "Snake" yupi anaeongelewa sana kwenye mijadala ya CAF

    Shughuli ya mpira hata Angekuja Huyo Snake watu wakishaandika shikel za kimaruhani huwezi kutoka hapo tena ogopa wakiongeza na kafala za moto nakambuka mshikaji wangu aliwahi kuniambia na alikuwa anarogea timu mojawapo za kariakoo hapo RIP sheh A
  2. Sohotoka

    Mtoto wa Arachuga Dogo Janja yuko wapi simsikii hewani?

    Muziki wa bongo wengi wanaimba wapate majimama ya kuwalea ndio Kilichopo kwa Dogo janja
  3. Sohotoka

    Kwanini Prodyuza Yogo anaacha muziki, tatizo Ali Kiba au malipo?

    Happy kwenye iman za kishilikina nakubaliana na wewe mziki wa bongo ni kama mpira wa miguu wa bongo wanalogana balaa
  4. Sohotoka

    Mwili wa bondia wakwama MOI, deni la Sh milioni 6 latajwa, mabondia wajichangachanga

    Sio mabondia tu asilimia kubwa ya watu maalufu wanaishi nje ya Maisha yao halisi
Back
Top Bottom