Ni juzi kati nilikuwepo Gesti Fulani na Dar na kabla ya kulala nilihesabu hela nilikuwa na 50000/=.
Nilipopatwa na usingizi mzito niliota mtu Fulani anakuja ananiambia nimpe hela zangu na nikampa yeye akanipa kitu kingine sikikumbuki.
Sasa nilivyoamka asubuhi natafuta Ile 50000/= sikuiona Tena...
Nimekuwa nikiteseka na Tatizo la kukosa choo wiki mbili Hadi tatu mfululizo na ndiyo maana mchana Huwa napiga pasi ndefu na watu wengi Huwa wananishangaa kwanini sili mchana naishia kuwadanganya nimeshiba lakini najua naumwa.
Lakini Dua zangu zimejibiwa na sasa nimepata suluhisho na suluhisho...
Kuoa sio lazima unaweza ukaishi mwenyewe Kwa raha BIla stress na mtu yeyote.Unatumia kibunda chako mwenyewe unajitibu mwenyewe,Uhuru wako mwenyewe,kusali mwenyewe.Usiangalie mitazamo ya jamii inayolazimisha lazima uoe.
Bikra ni muhimu Sana inaonesha jinsi gani mwanamke anatunza utu na dhamani yake.Tulitakiwa kuwaasa na kuwasisitiza watoto wetu wa kike wajitunze na sio kuwaambia Ndoa haijengwi na Bikra.
Naongea mbele zenu Kwa masikitiko makubwa wanajamii Forums maana nashindwa kuelewa hii hali inapoelekea.Siku ya saba Leo nakula lakini sipati choo.
Kiuno nacho kinauma hata kusimama muda mrefu imekuwa kazi na tumbo likekuwa kubwa kama Nina kitambi vile.
Sina hamu ya kula maana nahisi muda wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.