Watu wengi wamekuwa wakijiuliza maswali mengi kitendo cha Rais Samia kumteua Prof. Ibrahim Juma aliyekuwa Jaji Mkuu wa Mhimili wa Mahakama aliyestaafu juzi tu kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha UDOM. Je, kwa kitendo hicho kuwapi dhana ya separation of power ya mihimili ya dola?
Je hii haidhihirishe...
Tapeli tu wa siasa huyu. Mpaka namkumbuka Bw. Byakanwa kwa mambo aliyomfanyia huyu mwamba alivyokuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai. Kumbe huyu jamaa alikuwa sahihi.
Tapeli huyu. Kamuulize Rose Mhando mwimbaji wa nyimbo za Injili, alimfanya mabaya sana ikifika hatua anamshikia Silas’s ili kumdhuru. Tapeli wa viwanja na mali za watu.
Hivi kumbe yupo huyu tapeli!
Lakini huyu mbona alikili kabisa wakati wa uchaguzi kwamba yeye hatakuwa tayali kufanya kazi na mwenyekiti yeyote mbali ya Freeman Mbowe. Kwahiyo, mwacheni aende zake.
Naona haujawaelewa CHADEMA wewe! CHADEMA hawasemi watasusia uchaguzi, bali wanasema WATAZUIA uchaguzi kufanyika.
Sasa cha msingi ku-dwell mimi na wewe ni kuvuta subira kujua jinsi watavyozui uchaguzi kufanyika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.