Labda unahitaji darasa la kutongoza na lipo Mombasa ama sivyo tulia kijana hio kitu ukichovyachovya utajiharibia nyota yako bure halafu uje tena hapa ulalamike huna mafanikio yoyote.
Ofisi hakuna msiri wako hata siku moja. Usikubali kukaa vikundi hata mara moja, ikitokea hio nyanyua simu kana kwamba unaongea na simu toka nenda mbali urudi baadae wakishatawanyika. Kwa ufupi ofisi za pool unajikuta unaongea ni shida tupu hamna rafiki hapo
Niliwahi kulala Guest moja mpya barabarani kabisa, usiku ikanyesha mvua kubwa sana yenye upepo, kesho yake nimemka asubuhi nimetoka getini pakavu kabisa nikarudi ndani kuwauliza wakaniambia kila mwaka tarehe hio pana hio mvua nkahama zangu.
Kama ni ufugaji large scale say kuku 1000 msapoti mtapata mafanikio, ndio maana wanaume tunapenda kufanya mambo yetu halafu tuwape taarifa maana ubishi wenu unatuumiza hasahasa tusipokuwa na hela
Pole na changamoto. Nenda nae kwa Pst Ezekiel Mombasa. Panda basi Tahmeed yanakwenda kila siku nauli 35 uwe na passport au temporary pass naskia pia yapo mabasi yanatoka dar moja kwa moja mpaka kanisani kwake Mavueni.
Pole dogo. Wazazi wako hasahasa wa kiume ndio wanakupatia baraka. Ukikosa hizo baraka huko mbele ni lazima utapata shida. Komboa familia yako kupitia neno na uwapende hivyohivyo hata kama wamekuudhi, wapigie simu kila wiki kama wako mbali au watembelee kila wiki kama wako karibu huku ukipeleka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.