Recent content by snud95sozie

  1. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Potelea mbali.ngoja na mm nishare tuone
  2. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Leo nmeprove kwa wingi wa odds ni Sportybet na Pmbet hakuna cha 22bet wala mwingine
  3. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ligi ya uturuki wakamaria iweken mbal na mkeka sio salama, sivaspor red mbil hajashinda Fenebarche red mbil hajashinda
  4. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Chezen kistaarab leo panaweza chachi watu
  5. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu NBA ngum san now, juz nlijarib nkawin ila kwa mbinde sana
  6. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    hongera mkuu, nmejifunza kitu hapo
  7. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    wasafibet wamekula pesa za watu wameingia mtini , mm ni mmojawapo wameshikilia 30k yangu, ila odds zimeshiba asee
  8. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    kuna siku nliangalia uchambuz wa vikapu vya basket wadau walivyobet, kuamkia jana na leo nkaweka vitim vitat we vikapu 50 kufika kwa quarter asee ni mbinde wahind wakala pesa yao. Hao Australia, Turkey na Nedhelands asee sichoshi ubongo kuwafatilia wamekuwa takataka sana
  9. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Stake what you can afford to lose!!
  10. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wazee wa NBA tengenezen tulipuke bas!!
  11. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu nasubir ntembee na wewe !!
  12. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    hivi yule jamaa yetu wa Milion stake jina nmelisahau sijui yuko wap wakuu
  13. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Daaah nafurah kuwaona wakongwe , tpaul , Mayu,
Back
Top Bottom