Recent content by sniper ammo

  1. sniper ammo

    Kwa nini Mitandao haina huduma ya kureverse muamala ukinunua Salio kwa bahati mbaya?

    Hata vocha ikiharibika wakati wa kukwangua unaambiwa fika office zetu na uknunulia kwa mpesa, tigopesa, halopesa bado tozoo Ni nyingi... Huduma zao labda hazijali hela ndogondogo za vocha.
  2. sniper ammo

    Kazi au Rehabilitation

    🤣🤣🤣 Sio kweli
  3. sniper ammo

    Kazi au Rehabilitation

    Mtu haouko addicted na pombe kazi yako iko vizuri na hakuna lawama Wala malalamiko yoyote kwa unaowahudumia lakini BOSS WAKO anakuambia chagua moja moja kazi au uende rehab? Nlikua Naomba kufahamu mwajiri akitaka kumpeleka mfanyakazi wake rehab anatakiwa kufuata utaratibu gani?
Back
Top Bottom